0657128567

Mwanza Tanzania,

Karibu Sana Kwenye Mtandao huu Wa Shule Tanzania

Showing posts with label TENGENEZA PESA KWA KUTUMIA BLOG.. Show all posts
Showing posts with label TENGENEZA PESA KWA KUTUMIA BLOG.. Show all posts

Thursday, February 22, 2018

MAMBO NANE (8) MUHIMU SANA YA KUFAHAMU KABLA YA KUTENGENEZA BATIKI.

Habari rafiki yangu, naamini unaendelea vizuri na mapambano ya kuboresha maisha yako.

Kama ilivyo kawaida yangu nakufunulia fursa mbalimbali ambazo ukiamua kuchukua hatua unaweza kubadili maisha yako kabisa. Cha msingi sana ni kuchukua hatua.

Leo nakuletea fursa ya kutengeneza batiki, fursa ambayo si wengi sana wanaijua kwa maana ya jinsi ya kutengeneza, hata kama watu wanajua kutengeneza bado hawachukui hatua na kufanya fursa hii kuwa ya wachache na imewatajirisha wengi sana na wengine maisha yao yamebadilika kabisa.

Nisikuchoshe sana ndugu, leo hii nakuletea list ya vitu muhimu au mambo manane (8) ya muhimu kuyajua kabla ya kuanza kutengeneza batiki yenye ubora wa hali ya juu. Vitu hivyo ni:-

MAHITAJI:
1.Vibao vyenye urembo mbalimbali.
2.Sponji zenye urembo mbalimbali.
3.Brash kubwa/ndogo.
4.Meza kubwa yenye urefu wa mita moja mpaka mbili.
5.Sufuria.
6.Vitambaa
7. Jiko.

MADAWA:
8.Sodium hydrosulphate.
9.Caustic soda
10.Mshumaa.

KAZI ZAKE:
1.Sodium hydrosulphate ni kuimarisha rangi isichuje,kama itachanganywa na caustic soda.Madawa haya huwa kazi yake ni moja lakini ikikosekana moja nyingine haifanyi kazi.
2.Kazi ya mshumaa ni kuweka urembo kwenye nguo au kwenye vitambaa kwa kutumia vibao au sponji zenye urembo wa tembo,twiga,matunda au aina yoyote ya urembo unayotaka mtengenezaji.

Zifuatazo ni picha za baadhi ya batiki ambazo ninatengeneza na kuwauzia wateja wangu.

















Je unatamani kujua kutengeneza batiki?? Hii ni miongoni mwa fursa zilizojificha kabisa na watu hawazioni na hata kama wanaziona hawachukui hatua yoyote, kama unasoma makala hii na unasikia moyoni unatamani kujua jinsi ya kutengeneza batiki hizi basi naamini ndani ya muda mfupi unaenda kuwa mtu mwingine kabisa.

Inawezekana kabisa unajiuliza kuhusu mtaji inagharimu kiasi gani, nataka nikutoe hofu, mtaji wake ni kiasi kidogo saaaana ambacho huwezi kuamini, na utajiuliza kwa nini watu hawafanyi biashara hii kwa wingi na wakati mtaji ni kiasi kidoooooogo sana, nimeshasema sababu hapo juu ni kwamba watanzania wengi hatupendi kujishughulisha, tunapenda kukaa vijiweni kulalamika maisha magumu tu na kuzungumzia maisha ya watu. Ninaamini baada ya kusoma makala hii utakwenda kuchukua hatua mara moja.

Nina habari njema kwa wewe ambaye umependa kujifunza mradi huu.

Kama uko serious na unataka kujifunza jinsi ya kutengemeza batiki basi nimekuandalia kozi maalumu kwa ajili yako.
Kozi hiyo itakufundisha kwa kina, hatua kwa hatua jinsi ya kutengeneza batiki yenye mikunjo/michoro mbalimbali ya kupendeza machoni pa watu.

Kozi hiyo itakuwa kwa njia ya VIDEO ambayo itakusaidia kuangalia kwa vitendo jinsi tunavyokunja mikunjo hiyo na kuweka rangi mbalimbali.

Je uko tayari???

Kama uko tayari niandikie ujumbe whatsapp 0717375782 kwamba uko tayari kujifunza BATIKI kwa njia hiyo kisha nitakuingiza darasani. KARIBU SANA.

Najua bado unajiuliza mtaji ni shilingi ngapi???? Najua vijana wengi tukitaka kuanza mradi flani tunawaza sana kuhusu mitaji. Nataka nikwambie kwa mradi huu hata sh. 15,000/- unaweza kutengeneza batiki nzuri na watu wakabaki kukushangaa. Pia utakuwa unajiuliza nitatoa wapi malighafi???? nataka nikutoe hofu, Tanzania sasa ni ndogo sana, kama hutapata sehemu au mkoa uliopo tutakutumia popote ulipo ilimradi tu utimize ndoto zako. Usiogope, chukua hatua sasa, natamani sana kukuona darasani.

Ni mimi mwenye kujali mafanikio yako;

Pius J. Muliriye
0717375782 | whatsapp tu.
0754745798 | meseji tu (usipige)
piusjustus28@gmail.com
www.piusjustus.com

Saturday, March 18, 2017

KITABU; JINSI YA KUTENGENEZA PESA KWENYE MTANDAO KWA KUTUMIA BLOG

Wiki chache zilizopita SHULE TANZANIA iliendesha mafunzo mafupi ya jinsi ya kutengeneza fedha kwenye mtandao kwa kutumia blog. Mafunzo haya yalikuwa na mafanikio makubwa sana kwani washiriki walijifunza mbinu mbalimbali za kuweza kukuza blog zao na kuzibadilisha kuwa biashara.

Pamoja na kutoa muda mrefu wa kujiunga na mafunzo haya, bado kuna watu wengi sana ambao waliyakosa mafunzo haya. Baada ya mafunzo kuisha kila siku kumekuwa na watu ambao wanahitaji kupata mafunzo haya. Ni vigumu kurudia kuendesha tena mafunzo haya kwa sababu kuna vitu vingi vya kufanya wakati wa kuendesha mafunzo ndio maana kuna ratiba maalumu za kuendesha mafunzo.

Kwa kuwa elimu hii ni muhimu sana na inaweza kumkomboa mtanzania yeyote anayetaka kutengeneza kipato kikubwa nimeona sio busara kwa watu wengi kuikosa elimu hii. Hivyo nimetoa kitabu kinachoitwa JINSI YA KUTENGENEZA PESA KWENYE MTANDAO KWA KUTUMIA BLOG. Kitabu hiki kimejaa mbinu muhimu za kutengeneza fedha ambazo ainafanya kazi kwenye mazingira yetu ya kitanzania na ndio huwa nazitumia kila siku.












Katika kitabu hiki utajifunza jinsi ya kutengeneza blog hata kama hujui kabisa na jinsi ya kuikuza na kuifanya kuwa biashara kubwa.

Kitabu hiki kina mafunzo yafuatayo;
1. Utambulisho wa blog na aina mbalimbali za blog.
2. Jinsi ya kutengeneza blog
3. Njia mbalimbali za kutengeneza fedha kupitia blog.
4. Kuweka misingi ya blog yako na kuchagua mtindo wako.
5. Uandishi wa makala zenye mvuto.
6. Kujenga hadhira na kuvutia wasomaji wengi zaidi(email list).
7. Kuunganisha blog na mitandao mingine ya kijamii ili kupata wasomaji wengi zaidi.
8. Kuchagua njia ya kuingiza fedha kutumia blog.
9. Uandishi wa makala za kuuzia bidhaa au huduma na siri iliyoko nyuma ya utafutaji wa masoko.
10. Kutengeneza fedha kusiko na kikomo kupitia blog yako.
11. Kutofautisha blog yako na blog nyingine na jinsi ya kuendelea kuikuza zaidi.
Masomo hayo yameelezewa kwa lugha rahisi na wakati mwingine kwa kutumia picha ili kuweza kukurahisishia wewe kuelewa.

Pata kitabu hiki mara moja ili uweze kutengeneza misingi yako ya kuweza KUTENGENEZA KIPATO KISICHO NA KIKOMO KWENYE MTANDAO KWA KUTUMIA BLOG.
Kitabu hiki kipo kwenye mfumo wa PDF na kinatumwa kwa njia ya EMAIL au WHATSAPP
Gharama ya kitabu hiki ni tsh elfu kumi(5,000/=) unatuma fedha hiyo kwa MPESA-0754745798 AU TIGO PESA-0657128567 (PIUS MULIRIYE) kisha unatuma email address yako kwa meseji kwenye moja ya namba hizo au niandikie meseji whatsapp kwa namba 0754745798 na unatumiwa kitabu mara moja.

Pata kitabu hiki na uanze kujenga misingi ya kutengeneza pesa kupitia mtandao. Uzuri wa kutengeneza pesa kwenye mtandao ni kwamba hakuna kikomo na unaweza kufanya kazi popote ulipo. Kikomo cha kiwango cha fedha unachoweza kutengeneza unaweka mwenyewe, ukiwa na juhudi na maarifa kipato kinakuwa kikubwa. Unaweza kufanyia kazi zako ofisini, nyumbani au sehemu yoyote unayoona ni nzuri kwako. Tembelea blog yangu uone ninavyofanya kutengeneza pesa kwa kutumia blog www.shuletanzania.info

Kupitia kitabu hiki unapata nafasi kubwa ya kuyaboresha maisha yako.
Karibu sana upate kitabu hiki ambacho kitaboresha maisha yako kwa kiasi kikubwa sana.

ASANTE SANA NA KARIBU SANA KATIKA DUNIA YA MTANDAO.
(Kumbuka, usipojifunza leo kuhusu technolojia hii utalazimika kujifunza baadae kwa gharama kubwa sana. Jifunze mapema ili kesho uwe mwalimu wa wengine na utengeneze kipato zaidi.)

JIUNGE NAMI UPOKEE MAKALA KILA IWEKWAPO MTANDAONI