0657128567

Mwanza Tanzania,

Karibu Sana Kwenye Mtandao huu Wa Shule Tanzania

Showing posts with label ONLINE COURSE. Show all posts
Showing posts with label ONLINE COURSE. Show all posts

Thursday, February 22, 2018

MAMBO NANE (8) MUHIMU SANA YA KUFAHAMU KABLA YA KUTENGENEZA BATIKI.

Habari rafiki yangu, naamini unaendelea vizuri na mapambano ya kuboresha maisha yako.

Kama ilivyo kawaida yangu nakufunulia fursa mbalimbali ambazo ukiamua kuchukua hatua unaweza kubadili maisha yako kabisa. Cha msingi sana ni kuchukua hatua.

Leo nakuletea fursa ya kutengeneza batiki, fursa ambayo si wengi sana wanaijua kwa maana ya jinsi ya kutengeneza, hata kama watu wanajua kutengeneza bado hawachukui hatua na kufanya fursa hii kuwa ya wachache na imewatajirisha wengi sana na wengine maisha yao yamebadilika kabisa.

Nisikuchoshe sana ndugu, leo hii nakuletea list ya vitu muhimu au mambo manane (8) ya muhimu kuyajua kabla ya kuanza kutengeneza batiki yenye ubora wa hali ya juu. Vitu hivyo ni:-

MAHITAJI:
1.Vibao vyenye urembo mbalimbali.
2.Sponji zenye urembo mbalimbali.
3.Brash kubwa/ndogo.
4.Meza kubwa yenye urefu wa mita moja mpaka mbili.
5.Sufuria.
6.Vitambaa
7. Jiko.

MADAWA:
8.Sodium hydrosulphate.
9.Caustic soda
10.Mshumaa.

KAZI ZAKE:
1.Sodium hydrosulphate ni kuimarisha rangi isichuje,kama itachanganywa na caustic soda.Madawa haya huwa kazi yake ni moja lakini ikikosekana moja nyingine haifanyi kazi.
2.Kazi ya mshumaa ni kuweka urembo kwenye nguo au kwenye vitambaa kwa kutumia vibao au sponji zenye urembo wa tembo,twiga,matunda au aina yoyote ya urembo unayotaka mtengenezaji.

Zifuatazo ni picha za baadhi ya batiki ambazo ninatengeneza na kuwauzia wateja wangu.

















Je unatamani kujua kutengeneza batiki?? Hii ni miongoni mwa fursa zilizojificha kabisa na watu hawazioni na hata kama wanaziona hawachukui hatua yoyote, kama unasoma makala hii na unasikia moyoni unatamani kujua jinsi ya kutengeneza batiki hizi basi naamini ndani ya muda mfupi unaenda kuwa mtu mwingine kabisa.

Inawezekana kabisa unajiuliza kuhusu mtaji inagharimu kiasi gani, nataka nikutoe hofu, mtaji wake ni kiasi kidogo saaaana ambacho huwezi kuamini, na utajiuliza kwa nini watu hawafanyi biashara hii kwa wingi na wakati mtaji ni kiasi kidoooooogo sana, nimeshasema sababu hapo juu ni kwamba watanzania wengi hatupendi kujishughulisha, tunapenda kukaa vijiweni kulalamika maisha magumu tu na kuzungumzia maisha ya watu. Ninaamini baada ya kusoma makala hii utakwenda kuchukua hatua mara moja.

Nina habari njema kwa wewe ambaye umependa kujifunza mradi huu.

Kama uko serious na unataka kujifunza jinsi ya kutengemeza batiki basi nimekuandalia kozi maalumu kwa ajili yako.
Kozi hiyo itakufundisha kwa kina, hatua kwa hatua jinsi ya kutengeneza batiki yenye mikunjo/michoro mbalimbali ya kupendeza machoni pa watu.

Kozi hiyo itakuwa kwa njia ya VIDEO ambayo itakusaidia kuangalia kwa vitendo jinsi tunavyokunja mikunjo hiyo na kuweka rangi mbalimbali.

Je uko tayari???

Kama uko tayari niandikie ujumbe whatsapp 0717375782 kwamba uko tayari kujifunza BATIKI kwa njia hiyo kisha nitakuingiza darasani. KARIBU SANA.

Najua bado unajiuliza mtaji ni shilingi ngapi???? Najua vijana wengi tukitaka kuanza mradi flani tunawaza sana kuhusu mitaji. Nataka nikwambie kwa mradi huu hata sh. 15,000/- unaweza kutengeneza batiki nzuri na watu wakabaki kukushangaa. Pia utakuwa unajiuliza nitatoa wapi malighafi???? nataka nikutoe hofu, Tanzania sasa ni ndogo sana, kama hutapata sehemu au mkoa uliopo tutakutumia popote ulipo ilimradi tu utimize ndoto zako. Usiogope, chukua hatua sasa, natamani sana kukuona darasani.

Ni mimi mwenye kujali mafanikio yako;

Pius J. Muliriye
0717375782 | whatsapp tu.
0754745798 | meseji tu (usipige)
piusjustus28@gmail.com
www.piusjustus.com

Saturday, November 18, 2017

KOZI YA UTENGENEZAJI WA SABUNI YA MCHE ZA MAGADI/KIGOMA KWA NJIA YA MTANDAO (Online course)

Habari rafiki yangu wa mtandao huu wa www.shuletanzania.info natumai unaendelea vizuri na harakati za kuboresha maisha yako. Ni jambo jema sana kwani mustakabali wa maisha yako yako mikononi mwako.

Rafiki; leo nakuletea kitu ambacho kitaweza kubadili maisha yako kama utachukua hatua katika maisha yako.
Hivi karibuni nimekuwa nikizungumzia sana kuhusu swala la mtu kutengeneza bidhaa mbalimbali kama dhana nzima ya kumiliki kiwanda nyumbani kwako imavosema na hatimaye kuimarisha uchumi wako.

Nilifanikiwa kuandika kitabu cha MILIKI KIWANDA MILIKI UCHUMI ambacho kinapatikana mtandaoni na kimefanya vizuri sana na kimesaidia sana watu wengi kwani wengi wanamiliki sasa viwanda vidogo nyumbani kwao, unaweza pia kukipata kitabu hicho kwenye simu yako kwa kupitia whatsapp au email kwa bei nafuu sana. Niandikie whatsapp 0754745798 nitakutumia mara moja baada ya kulipia.


Katika kitabu hicho nimefanikiwa kutengeneza kozi moja kwa njia ya VIDEO (online course)ambayo inaonyesha kwa vitendo hatua kwa hatua utengenezaji wa SABUNI ZA MAGADI zile za KIGOMA ambazo zinapendwa sana na zina soko kubwa sana hata nchini mpaka nje ya nchi.

Kama simu yako inaweza kuingia google basi unaweza kuandika www.piuscollege.wordpress.com kuingia darasani mara moja. Pata kozi hii itakusaidia sana kuelewa jinsi ya kutengeneza sahuni hizo kwa njia ya vitendo yaani VIDEO na moja kwa moja utaweza kwenda kuanza mradi wako wa uzalishaji.

Usiwaze sana kuhusu malighafi kwani tutaweza kusuply popote ulipo kutokea MWANZA, cha msingi jifunze kwanza na kuhusu malighafi ukikosa huko uliko tuwasiliane mara moja.

Karibu kwenye kozi hiyo, bonyeza HAPA na utapata utaratibu wa kujiunga na kozi hiyo.

KARIBU SANA

Ni mimi mwenye kupenda mafanikio yako;


PIUS J. MULIRIYE
0754745798
0657128567
piusjustus28@gmail.com 
JIUNGE NAMI UPOKEE MAKALA KILA IWEKWAPO MTANDAONI