0657128567

Mwanza Tanzania,

Karibu Sana Kwenye Mtandao huu Wa Shule Tanzania

Sunday, February 25, 2018

JINSI YA KUTENGENEZA BATIKI PART 1

Jifunze jinsi ya kutengeneza batiki kwa njia rahisi kabisa. Kama utapenda kozi hii basi kuna video nimekuandalia mwanzo mpaka mwisho wa jinsi ya kutengeneza batiki aina nyingi ikiwemo Muundo wa sambusa, muundo wa mkeka, bleech, na nyingine nyingi zinakuja. Kuingia darasani bonyeza picha hapo juu itakupeleka moja kwa moja kwenye darasa letu. 

Unaweza kusikiliza utangulizi wa kozi yetu hapa chini.


Bonyeza hapa kuingia darasani www.piuscollege.wordpress.com


Ni mimi mwenye kujali mafanikio yako.
PIUS J. MULIRIYE
Whatsapp tu | 0717375782

No comments:
Write comments

JIUNGE NAMI UPOKEE MAKALA KILA IWEKWAPO MTANDAONI